Social & Corporate Events | Documentaries | TV Programs & Movies | Music Videos | Family Portrait

Monday, August 5, 2013

FUTARI MWANANA MJENGONI AIRTEL

                                 Wadau wa Kitengo cha Masoko wakijiweka sawa kwa futari

 Managing Director Ndugu Sunil Colaso nae hakubaki nyuma

 Wadau wa Kitambi Noma Basketball Team wakijiandaa kufanya yao

 Gahawa kidogo

 Mamaa Nanaa Aisha Mzungu punde baada ya kumaliza swalatul Magharibi nikamuwahi na flash

 Watoto wa MD Rekha na Malaika nao walijumuika na wana Airtel kufuturu

 Mami Tunnu,Lulu Mashiba na Lulu Mduma wakifungulia baada ya swaumu kali

 FIFO na LIFO hapo kazi ipo

 Aneth YATOSHA Muga(kulia) akiwa na Ustadhat Upendo Nkini

 Wapi Airtel Money Team

 Airtel Money kweli Yatosha manaake Ma-ustaadh wako bize kufuturu

 Kwenye kula hakuna kujivunga

 Naam Mkurugenzi Mtendaji akionyesha Utendaji kwa vitendo@Misosi Mode activated

 Anchilla,Pauline na Aika

 Mkurugenzi wa IT Franky Filman aki-configure IP na Proxy ya tumbo

 Mdogo wangu Jackson Mbando akijiandaa na Press conference ya misosi

 Human Resources Director ndugu Patric Foya

 Wadau

 MD na Chief wa Marketing&Sales tete-a-tete

 Kijana Habib Mbully kwenye futari ana kwa ana na MD

 Wadau upande wa kina mama

 Wadau Vicky,Suzy,Lily(Single lady) na Joy

Kama wametoka kuhiji vile

No comments:

Post a Comment