Social & Corporate Events | Documentaries | TV Programs & Movies | Music Videos | Family Portrait

Monday, August 5, 2013

FUTARI @ AIRTEL HOUSE

Baada ya Kufuturisha vituo mbalimbali vya watoto Yatima na wadau wa-TZ hatimaye Airtel ikaandaa futari ya maana kwa wafanyakazi na washirika mbalimbali wanaojituma kila uchao kuleta mabadiliko kwa kuwawezesha waTZ kuwasiliana kwa gharama nafuu isiyomithilika...HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA

 Wakati wa kusubiri adhana wadau walipimana nguvu kwenye michezo

 Wadau Amitin,Lulu na Nanaa waki-countdown to adhana

 Set-up

 Naam...Sheikh Yakub in action

 Misosi
Menu...

No comments:

Post a Comment